Friday, June 29, 2012

TAMASHA LA ZIFF LATARAJIWA KUANZA HIVI KARIBUNI

Kwenu marafiki wa tamasha la Filamu la ZIFF, Tamsha linakaribia kuanza, July 5 litang'oa nanga, are we ready? Mwaka huu mastaa kibao watashuka Bongo. Kutoka Marekani anakuja Mario Van Peebles. Kama umeangalia filamu ya All Things Fall Apart ya 50 Cent utakuwa umewahi kumuona huyu jamaa, mle ndani aliigiza kama baba wa 50 Cent. Cabo Snoop naye atadondoka kutoka Angola, yote ni kuzifanya siku tisa za tamasha zisimchoshe mtu yoyote, bila kwuasahau mastaa wetu Bongo kama Diamond, Linah, Barnaba, Roma na Sultan King. Bongo Movies wao ndio wataongoza jahazi la filamu, JB, Davina, Irene Uwoya, Jackline Wolper, Cloud na wengine wengi wataheadline katika tamasha. ZIFF inawakaribisha Zanzibar Asanteni

No comments:

Post a Comment