Monday, July 2, 2012
50 CENT KUTUA RASMI KWA SHOW YAKE MWEZI JULAI NCHINI UGANDA
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani anatarajiwa kuwasili Kampala nchini
Uganda mwezi huu kwa ajili ya show zake za nchini humo gazeti maarufu la
kenya limeandika. Kwenye habari yake gazeti hilo limedai kuwa
mwanamuziki huyo atatua nchini humo kufanya show ambayo pia
atasindikizwa na wasanii wa huko japo haikuwekwa wazi ni lini itafanyika
na pia ni ukumbi gani unahusika na bado pia haijafahamika kama
mwanamuziki huyu atafika nchi zote za Afrika Mashariki kama ilivyokuwa
kwa safari zake za hapo nyuma.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment