Saturday, October 29, 2011

AMBER ROSE AONYESHA TATTOO ILIYOUMA KULIKO ZOTE ALIZOWAHI KUZICHORA MWILINI MWAKE

Amber Rose ametengeneza tena vichwa vya habari baada ya kunaswa akiwa beachoney wake Wiz Khalifa wakijienjoy Hawaii beach huku akiionyesha tattoo aliyoiita tattoo iliyouma kuliko zote alizowahi kuzichora mwilini mwake.Tattoo hiyo ni aliyoichora katika tumbo lake.

No comments:

Post a Comment