Thursday, November 10, 2011

Kwa mara ya tatu AY kuchukua tuzo za PAM zilizofanyika UGANDA

ikiwa ni mara ya tatu mfululizo, the international artist from Tanzania Ambwene Yesaya (AY),ameng'ara tena kupitia tuzo za PAM ziilizofanyika Uganda weekend iliyopita. Kupitia katikakigombanio cha msanii bora wa kiume kutoka Tanzania, AY amewatupa kule kina , Belle 9,Diamond na Alikiba

No comments:

Post a Comment