Pichani
ni washkaji zake Kajala walioenda kumtembelea mida hii pale gereza la
Segerea na kuanzia kushoto ni Producer Lamar, Producer P.Funk Majani
mbele yake ni Shilole msanii wa Bongo Fleva na anayefuatia ni B12 kutoka
Clouds FM, VJ Penny, Sam Misago kutoka EATV na meneja wa Ommy Dimpozi
anaitwa Muba..
No comments:
Post a Comment