Monday, July 23, 2012

BAADHI YA MARAFIKI WALIOENDA KUMTEMBELEA KAJALA

Pichani ni washkaji zake Kajala walioenda kumtembelea mida hii pale gereza la Segerea na kuanzia kushoto ni Producer Lamar, Producer P.Funk Majani mbele yake ni Shilole msanii wa Bongo Fleva na anayefuatia ni B12 kutoka Clouds FM, VJ Penny, Sam Misago kutoka EATV na meneja wa Ommy Dimpozi anaitwa Muba..

No comments:

Post a Comment