Bodi
ya Utalii Tanzania, wiki iliyopita ilizindua kampeni ya kutangaza
vivutio vya kitalii kwa wageni nchini Australia. Hafla ya uzinduzi huo
uliongozwa na Mkurugenzi wa Bodi, Bw. Aloyce Kilua na kuhudhuriwa na
balozi wa Japan anayewakilisha pia Australia, New Zealand na Korea
Kusini, Mhe Salome Sijaona, ilifanyika katka hoteli ya Novotel mjini
Sydney huku wenyeji wa hafla hiyo wakiwa ni
Jumuiya ya Watanzania (NSW) Australia na kusimamiwa na katibu wake, Bw Frank Mtao na Connie Offeh
Katibu wa Jumuiya ya Watanzania Australia Bw Frank Mtao, akiwa na
balozi wa Tanzania Japan, Australia/New Zealand na Korea Kusini Mh
Salome Sijaona
akiwa n a Balozi wa Utalii Australia Bi. Casta Tungaraza
No comments:
Post a Comment